Featured

    Featured Posts

KINANA AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA MSUMBIJI NA WA RWANDA HAPA NCHINI, JIJINI DAR ES ASALAAM, LEOLEO

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana akizungumza na Balozi wa Msumbiji hapa Nchini Balozi Ricardo Mtumbuida (kushoto) katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, leo.
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana akizungumza na Balozi wa Rwanda Nchini Tanzania Meja Jenerali Charles Kalamba, (kushoto) katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, leo. Picha zote: Fahadi Siraji
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana