Featured

    Featured Posts

WAZIRI MKUU MAJALIWA AKIZUNDUA HUDUMA ZA KIDIJITALI ZA NMB PESA WAKALA, NMB MSHIKO FASTA NA LIPA MKONI

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akibofya ikiwa ni ishara ya uzinduzi wa huduma mpya za kidijitali za Benki ya NMB ambazo ni NMB PESA WAKALA, NMB MSHIKO FASTA na LIPA MKONONI katikahafla iliyofanyika leo Aprili 11, 2022 jijini Dodoma. Wanaoshuhudia kutoka kushoto ni  Ofisa Mtendaji Mkuu mpya, Ruth Zaipuna, Mwenyekiti wa Bodi ya NMB Dkt. Edwin Mhede na Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Hamad  Chande 
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akipongezwa na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge,Jerry Silaa baada ya kuzindua huduma hizo. Katikati ni Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Anthony Mtaka.
Huduma mpya zilizozinduliwa
Baadhi ya waendesha bodaboda na  bajaji wakiwa katika hafla hiyo.
Baadhio ya wafanyakazi wa NMB


 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akijadiliana jambo na Mwenyekiti wa Bodi ya NMB,Mwenyekiti wa Bodi ya NMB Dkt. Edwin Mhede  (kulia) na Ofisa Mtendaji Mkuu mpya, Ruth Zaipuna
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana