Featured

    Featured Posts

MBUNGE MHAGAMA: OFISI YA TAIFA YA MASHITAKA, DPP, IWEZESHWE ZAIDI KIFEDHA+video

 

Mbunge wa Madaba, Dkt. Joseph Mhagama ameiomba serikali kuiongezea fedha Ofisi ya Taifa ya Mashitaka ili iwe na uwezo wa kuendesha mashitaka mbalimbali nchini.

Ameyazungumza hayo alipokuwa akichangia hoja katika mjadala wa Bajeti ya Wizara ya Katiba na Sheria bungeni Dodoma Aprili 28, 2022.

Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Mhagama akichangia mjadala huo....

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA 
 MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM 
 0754264203
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana