Featured

    Featured Posts

MBUNGE SHABIBY: ILI MAFUTA YASIPANDE BEI RUHUSUNI WATU BINAFSI WAYAAGIZE+video

 


Mbunge wa Gairo, Ahmed Shabiby ametoa ushauri wa kizalendo kwa serikali wa jinsi ya kunusuru upandaji bei za mafuta nchini hasa katika kipindi hiki cha vita kati ya Urusi na Ukraine. 

 Ametoa ushauri huo alipokuwa akichangia makadirio ya Bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu bungeni Dodoma Aprili 6, 2022. 

 Mdau unaoombwa uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Shabiby akitoa mchango wake huo....IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
 MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM 
0754264203
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana