Featured

    Featured Posts

NAIBU WAZIRI SAGINI AMJIBU MBUNGE NDAISABA KUWA SERIKALI IPO TAYARI KUKAMILISHA UJENZI WA VITUO VYA POLISI NGARA+video

 

Mbunge wa Ngara, Ndaisaba Ruhoro ameihoji serikali bungeni ni lini ujenzi itakamilisha ujenzi vituo vya polisi viliyojengwa na wananchi Nyamagona, Keza na Djululigwa ? Ndaisaba aliulizwa swali hilo bungeni Dodoma Aprili 8, 2022 wakati wa kipindi cha maswali na majibu ambapo alijibiwa na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Jumanne Sagini kuwa serikali itatafuta fedha ili kukamisha ujenzi wa vitua hivyo na kwa kuzingatia Ngara kuwa mpakani itapatiwa gari la doria kati ya magari 78 ya jeshi hilo yaliyoagizwa na kutarajiwa kuwasili nchini mwishoni mwa mwezi huu....


Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Jumanne Sagini.

Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Mbunge wa Ngara Ndaisaba akiihoji serikali kuhusu suala hilo huku akijiwa na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Sagini...
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA 
 MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM 
 0754264203
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana