Featured

    Featured Posts

SPIKA TULIA, MBUNGE IKENDA WAIBANA SERIKALI BUNGENI NI LINI BARABARA YA IGAWA-TUNDUMA ITAANZA KUJENGWA?+video

Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Mbeya, Suma Fyandomo Ikenda ameibana serikali kuwa ni lini Serikali itaanza ukarabati wa Barabara ya Igawa hadi Tunduma katika mikoa ya Mbeya na Songwe. Alihoji jambo hilo wakati wa kipindi cha maswali na majibu bungeni Dodoma Aprili 8, 2022 na kujibiwa na Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Geofrey Kasekenya kuwa ukarabati huo mkubwa utaanza Julai mwaka huu...

Mdau endelea kusikiliza kupitia clip hii ya video, Mbunge Ikenda na Spika ambaye pia ni Mbunge wa Mbeya Mjini, Dkt Tulia Ackson wakipambania ujenzi wa barabara hiyo.....
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA 
MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM 
0754264203
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana