Featured

    Featured Posts

WAZIRI BITEKO AWAOMBA WATANZANIA KUWA NA SUBIRA KUPATA UHAKIKA WA RUBY INAYOPIGWA MNADA DUBAI+video

 Waziri wa Madini, Dkt Dotto Biteko amewaomba watanzania kuwa watulivu hadi serikali itakapotoa taarifa za uhakika kuhusu Ruby inayodhaniwa inatoka Tanzania inayopigwa mnada Dubai.

Biteko aliyasema hayo alipokuwa akitoa ufafanuzi kuhusu madini hayo yenye thamani ya zaidi ya sh. bilioni 200 wakati wa semina ya Wabunge Wanawake, kuhusu fursa za uchimbaji madini iliyoandaliwa na Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) na Chama cha Wachimbaji Madini Wanawake katika Ukumbi wa Bunge wa Msekwa jijini Dodoma Aprili 23, 2022.

Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Waziri Biteko akilitolea suala hilo ufafanuzi....
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA 
 MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM 
 0754264203
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana