Featured

    Featured Posts

MWENYEKITI WA UWT CHATANDA AENDA KWA DKT KIKWETE KUCHOTA USHAURI, MAARIFA,BUSARA

 Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) inamshukuru  Dkt Jakaya Kikwete, Rais wa Awamu ya Nne Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kutenga muda kujadiliana na Mary Chatanda, Mwenyekiti wa UWT Taifa kuhusu mustakabali mzima wa UWT kwa maslahi mapana ya maendeleo ya wanawake na watoto hapa Tanzania. #UWTimara #JeshiLaMama #KaziIendelee


author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana