Featured

    Featured Posts

SIMBA SC YABAGAZWA 1-0 NA AL DHAFRA LEO ABU DHABI

 


TIMU ya Simba SC ya Dar es Salaam imepoteza mechi yake ya kwanza ya kirafiki katika kambi yake fupi Falme za Kiarabu (UAE) baada ya kuchapwa 1-0 na wenyeji, Al Dhafra ya Madinat Zayed leo mjini Abu Dhabi.

Simba SC ambayo sasa chini ya kocha Mbrazil, Roberto Oliveira Goncalves do Carmo, maarufu kama Robertinho aliyeiongoza timu kwenye mechi ya kwanza leo, itaerejea mazoezini kesho Dubai kabla ya Jumapili kucheza mwingine wa kirafiki dhidi ya CSKA Moscow ya Urusi.
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana