Featured

    Featured Posts

CHONGOLO AKUTANA NA MTATURU NA KINGU, IKUNGI LEO

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndugu Daniel Chongolo, akizungumza na Mbunge wa Jimbo la Singida Mashariki Ndugu Miraji Mtaturu (kushoto) na Mbunge wa Jimbo la Singida Magharibi Ndugu Elibariki Kingu (kulia), baada ya kutembelea shamba la mwekezaji la uzalishaji wa mbegu za alizeti la ALFARDAWS lililopo Wilaya ya Ikungi mkoa wa Singida, leo.
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana