Featured

    Featured Posts

OSHA YATAJA MAJUKUMU YAKE MAKUU YA KULINDA USALAMA, AFYA ZA WAFANYAKAZI+video


Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA), Khadija Mwenda akizungumza kuhusu utekelezaji wa majukumu ya Osha katika mkutano na vyombo vya habari kwenye Ukumbi wa Idara ya Habari-MAELEZO, jijini Dodoma Machi 4, 2023. Ametaja majukumu makuu ya kusimamia na kulinda usalama na afya mahali pa kazi.

Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Habari -MAELEZO, Zamaradi Kawawa akiongoza mkutano huo.


Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Mwenda akitaja majukumu hayo...
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM 0754264203
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana