Magazeti ya leo, gazeti la mwananchi, global publisher, habari leo, habari mpya, ippmedia,magazeti ya leo tanzania, magazeti ya udaku, michuzi, michuzi blog, mpekuzi huru, mwananchi, mwanaspoti,nipashe, sekretarieti ya ajira
Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA), Khadija Mwenda akizungumza kuhusu utekelezaji wa majukumu ya Osha katika mkutano na vyombo vya habari kwenye Ukumbi wa Idara ya Habari-MAELEZO, jijini Dodoma Machi 4, 2023. Ametaja majukumu makuu ya kusimamia na kulinda usalama na afya mahali pa kazi.
Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Habari -MAELEZO, Zamaradi Kawawa akiongoza mkutano huo.
Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Mwenda akitaja majukumu hayo...
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM 0754264203
Post a Comment