Featured

    Featured Posts

MAKAMU WA RAIS DK. MPANGO NA MKEWE WASHIRIKI IBADA YA IJUMAA KUU


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango na Mkewe Mama Mbonimpaye Mpango, wameshiriki pamoja na waumini wengine Ibada ya Ijumaa Kuu katika Parokia ya Mtakatifu  Paulo wa Msalaba, Jimbo Kuu Katoliki Dodoma, Aprili 7, 2023.
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana