Featured

    Featured Posts

NEEMA MWANDABILA AMPONGEZA RAIS SAMIA KUWA 'CHAMPION' UIMARISHAJI WA LISHE NCHINI+video


 Mbunge wa Viti Maalumu, Neema Mwandabila amempongeza Rais Samia Suluhu Hassani kusisitiza uimarishaji wa Lishe Tanzania kwa lengo la kupunguza utapiamlo. Aidha ameitaka Ofisi ya Waziri Mkuu kuona umuhimu wa kuleta sera mpya ya lishe. Pia ameitaka serikali kuwa na mipango ya kujenga Bandari Kavu katika Mji wa Tunduma, Songwe kwa lengo la kuhudumia nchi mbalimbali zinazopakana na Tanzania katika ukanda huo.

Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Akitoa msisitizo kuhusu suala hilo....
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM 0754264203
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana