Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere akielezea mbele y iliyowasilishwa kwa Rais na bungea vyombo vya habari jijini Dodoma Aprili 6, 2023 kuhusu yaliyojiri katika ripoti ya ukaguzi huo kwa mwaka 2021/2022.
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti, Daniel Sillo akitoa maoni yake kuhusu ripoti hiyo ya CAG..
Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, CAG Kichere akisoma ripoti hiyo...
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM 0754264203
Post a Comment