Featured

    Featured Posts

GENZABUKE: NI LINI BARABARA YA SIMBO HADI KALYA ITAJENGWA?+video


Mbunge wa Viti Maalumu, Josephine Genzabuke aihoji serikali ni lini itajenga barabara kwa kiwango cha lami kutoka Simbo hadi Kalya?

Amehoji hilo wakati wa kipindi cha maswali na majibu bungeni Dodoma Mei 8, 2023.

Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Genzabuke akipigania jambo hilo...




 
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana