Featured

    Featured Posts

PROF. NDAKIDEMI: BAJETI YA KILIMO HAIKIDHI, IONGEZWE IWE TRILIONI 2 +video


 Mbunge wa Moshi Vijijini, Profesa Patrick Ndakidemi, amsema licha ya Bajeti ya Kilimo kuongezewa fedha lakini bado haikidhi haja, bali iongezewe ifikie sh. trilioni 2 ili mambo yaende sawa.


Pamoja na mambo mengine ameyasema hayo alipokuwa akichangia mjadala wa Bajeti ya wizara hiyo kwa mwaka wa fedha 2023/2024 bungeni Dodoma Mei 8, 2023.


Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Ndakidemi akichangia bajeti hiyo...

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA 
 MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM 
 0754264203
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana