Featured

    Featured Posts

KHAMIS MBETO KHAMIS: KAMA KUNA KIELELEZO KINABAKI AFRIKA NI KITENDO WALICHOKIFANYA WAASISI WETU


Katibu wa Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Idara ya Itikadi na Uenezi – Zanzibar Khamis Mbeto Khamis amesema pamoja na mambo mengi mazuri ambayo muasisi wa Zanzibar Hayati Abeid Amani Karume ameyafanya, ni pamoja na kuunganisha Zanzibar na Tanganyika, muungano ambao umekuwa mfano Afrika kwa kudumu miaka zaidi ya 59 sasa.


author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana