Featured

    Featured Posts

KIKWETE APELEKA BUNGENI SALAMU YA 5G YA YANGA


MBUNGE wa Chalinze ambaye ni mnazi mkubwa wa Klabu ya Yanga, Ridhiwani Kikwete akiwa na baadhi ya wageni kwenye viwanja vya Bunge, Dodoma, akiwaongoza kusalimia kwa mtindo wa 5G ambao hivi sasa hutumiwa na wapenzi wa klabu hiyo wakimaanisha STAILI Yanga Kila ikicheza na TIMU hufumga magoli matano.
 
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana