Magazeti ya leo, gazeti la mwananchi, global publisher, habari leo, habari mpya, ippmedia,magazeti ya leo tanzania, magazeti ya udaku, michuzi, michuzi blog, mpekuzi huru, mwananchi, mwanaspoti,nipashe, sekretarieti ya ajira
MBUNGE wa Chalinze ambaye ni mnazi mkubwa wa Klabu ya Yanga, Ridhiwani Kikwete akiwa na baadhi ya wageni kwenye viwanja vya Bunge, Dodoma, akiwaongoza kusalimia kwa mtindo wa 5G ambao hivi sasa hutumiwa na wapenzi wa klabu hiyo wakimaanisha STAILI Yanga Kila ikicheza na TIMU hufumga magoli matano.
Post a Comment