Featured

    Featured Posts

SPIKA TULIA AKUTANA NA UJUMBE WA BUNGE LA IRAN

 

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Tulia Ackson, amekutana na kufanya mazungumzo na Ujumbe wa Kamati ya Kilimo, Maji, Maliasili na Mazingira kutoka Bunge la Jamhuri ya Kiislam ya Iran Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma leo tarehe 5 Septamba, 2023.


Ujumbe huo umeongozwa Mhe. Rahmatollah Norouzi, Mbunge wa Bunge hilo akiwa ameambatana na Mhe. Hossein Alvand, Balozi wa iran nchini Tanzania.


 
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana