Featured

    Featured Posts

SERIKALI YAAHIDI MBELE YA GENZABUKE KUONGEZA KASI KUKAMILISHA UJENZI WA BARABARA MALAGARASI-UVINZA

Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Kigoma, Josephine Genzabuke ameihoji serikali bungeni Dodoma  kwamba ni lini kipande cha barabara cha Km 51 kilichobaki kutoka Malagalasi hadi Uvinza ujenzi wake utakamilika?


Amejibiwa na Naibu Waziri wa Ujenzi, Godfrey Kasekenya kuwa kwa vile mkandarasi yupo saiti watamwagiza aongeze kasi kukamilisha kipande hicho.

Mdau nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Genzabuke akiibana serikali...




IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MHARIRI
BLOG YA TAIFA YA CCM
0754264203
 
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana