Featured

    Featured Posts

SERIKALI YAAHIDI MBELE YA GENZABUKE KUJENGA MAHAKAMA YA HERU JUU

Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Kigoma, Josephine Genzabuke aitaka serikali kuharakisha ujenzi wa mahakama Heru Juu.


Serikali kupitia kwa Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Pauline  Gekul imeahidi katika mwaka huu wa fedha kujenga mahakama hiyo..


Mdau nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Genzabuke akihimiza ujenzi wa mahakama hiyo...



IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA

MHARIRI

BLOG YA TAIFA YA CCM

0754264203

author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana