Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Kigoma, Josephine Genzabuke aitaka serikali kuharakisha ujenzi wa mahakama Heru Juu.
Serikali kupitia kwa Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Pauline Gekul imeahidi katika mwaka huu wa fedha kujenga mahakama hiyo..
Mdau nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Genzabuke akihimiza ujenzi wa mahakama hiyo...
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MHARIRI
BLOG YA TAIFA YA CCM
0754264203

Post a Comment