Featured

    Featured Posts

KOMREDI CHONGOLO AKAGUA MRADI MKUBWA WA MAJI USEVYA MLELE

Katibu Mkuu wa CCM Komredi Daniel Chongolo amekagua mradi mkubwa wa maji wa Usevya wilayani Mlele wenye thamani ya sh. Bil. 4.2.

Amefanya ukaguzi huo wakati wa ziara ya kuimarisha uhai wa chama, kusikiliza kero za wananchi na kukagua utekelezaji wa Ilani ya chama mkoani Katavi Oktoba 4,2023.







 IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA 
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana