Featured

    Featured Posts

WANANCHI WAFURIKA MKUTANO WA CHONGOLO KATAVI

Wananchi wakiwa kwenye mkutano wa hadhara unaohutubiwa na Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM),  Komredi Daniel Chongolo kwenye Uwanja wa Kashato Mjini Mpanda, mkoani Katavi Oktoba 7,2023

Komredi Chongolo amefanya ziara ya siku Tano mkoani humo ya kuimarisha uhai wa chama, kusikiliza kero za wananchi na kukagua utekelezaji wa Ilani ya chama hicho.







 IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
 
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana