Featured

    Featured Posts

CHONGOLO AKARIBISHWA NA WAZEE WA KIMILA RUKWA


Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Komredi Daniel Chongolo akikaribishwa na wazee wa kimila wa Kabila la Wafipa na kufanyiwa tambiko aliwasili katika eneo la Palamawe Wilaya ya Nkasi mkoani Rukwa Oktoba 8, 2023 tayari kuanza ziara ya siku nne ya kuimarisha uhai wa chama, kusikiliza kero za wananchi na kukagua Ilani ya CCM ya mwaka 2020/2023.Chongolo ametokea katika ziara ya siku 7 ya Mkoa wa Katavi. Anayemvisha golole la ni Chifu wa kabila hilo Malema Mtuka Sinyangwe.












 IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana