Featured

    Featured Posts

RAIS DK. SAMIA AFUNGUA MKUTANO WA MWAKA HUU WA CDF NA MAKAMANDA, LUGALO JIJINI DAR ES SALAAM, LEO

Amiri Jeshi Mkuu Rais Dk. Samia Suluhu Hassan akiteta jambo na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama Jenerali Jacob John Mkunda, wakati wa mkutano wa CDF na Makamanda kwa mwaka 2023 ambao ulifanyika Lugalo Jijini Dar es Salaam tarehe 22 Januari, 2024.
 
Amiri Jeshi Mkuu Rais Dk. Samia Suluhu Hassan akihutubia Viongozi, Wakuu wa Kamandi, Wakuu wa Matawi na Maafisa Majenerali mbalimbali wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wakati akifungua mkutano wa CDF na Makamanda uliofanyika Lugalo Jijini Dar es Salaam, leo Januari 22, 2024.

Wakuu wa Kamandi, Wakuu wa Matawi na Maafisa Majenerali mbalimbali wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), wakiwa kwenye Mkutano huo.
Wakuu wa Kamandi, Wakuu wa Matawi na Maafisa Majenerali mbalimbali wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), wakiwa kwenye Mkutano huo.Amiri Jeshi Mkuu Rais Dk. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Maafisa Wanawake wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), baada ya kufungua Mkutano huo.
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana