Featured

    Featured Posts

KOMREDI CHONGOLO AMKABIDHI OFISI DK. NCHIMBI

 


 Katibu Mkuu Mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Komredi Daniel Godfrey Chongolo akimkabidhi nyaraka mbalimbali Katibu Mkuu mpya wa CCM Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi ikiwa ni ishara ya makabidhiano ya nafasi hiyo katika shughuli maalum iliyofanyika Makao Makuu ya CCM White House Dodoma Januari 22, 2024.
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana