Featured

    Featured Posts

DK. NCHIMBI AMPONGEZA CHONGOLO KWA KUKIIMARISHA CHAMA


 Katibu Mkuu mpya wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Emmanuel Nchimbi kwa niaba ya CCM amemshukuru na kumpongeza mtangulizi wake Komredi Daniel Chongolo kwa kazi kubwa aliyoifanyia CCM tofauti na alivyoikuta.


Pongezi hizo amezitoa alipokuwa akihutubia wakati wa mapokezi yaliyofanyika Makao Makuu ya chama hicho jijini Dodoma Januari 22, 2024.

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA 
MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM 
0754264203
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana