Featured

    Featured Posts

MECHI YA WATANI WA JADI YANGA NA SIMBA YAAHIRISHWA HADI NOVEMBA 7

 

Mechi kati ya Klabu ya Yanga na Simba iliyokuwa ichezwe Oktoba 18, 2020 imesogezwa mbele hadi Novemba 7 kutokana na uwezekano wa kuwepo kwa vikwazo vya usafiri kwa wachezaji wa Kimataifa kutokana na kalenda za FIFA

Taarifa ya Bodi ya Ligi Kuu imesema kutokana na janga la Corona Virus, nchi Duniani bado zimeweka masharti mbalimbali kuweza kudhibiti maambukizi.

author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana