Featured

    Featured Posts

SIASA SIYO VITA TUUNGANE KUIHAKIKISHIA USHINDI CCM-MWAKABWANGA



Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ibrahim Mwakabwanga.akimpongeza mgombea ubunge Jimbo la Mbarali kupitia CCM, Francis Mtega baada ya kampeni.

Kada huyo amewasihi wagombea wote kupambana kuhakikisha wanapata ushindi wa kishindo ili CCM ishike Dola na kuwaletea maendeleo wananchi.

Mwakabwanga ambaye alikuwa miongoni mwa wawania kugombea ubunge katika jimbo hilo, amesema kuwa siasa siyo vita hivyo inatakiwa tufanye kampeni za kistaarabu hadi ushindi upatikane ili tuje tumuunge mkono Dk. Magufuli katika harakati za ujenzi wa Taifa letu. PICHA NA ASHRACK MIRAJI



author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana