Waziri Mkuu mstaafu John Samweli Malecela akiaana na wakuu wa vyombo vya Ulinzi na Usalama.
Waziri Mkuu mstafu, Frederick Sumaye akiagana na viongozi wa Ulinzi na Usalama baada ya kuhudhuria sherehe hizo.
Waziri Mkuu mstaafu, Edward Lowassa akienda kupanda gari baada ya kuhuduria shrehe hizo muhimu.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiagana viongozi wa Ulinzi na Usalama baada ya kuhudhuria sherehe hizo.
Wairi Mkuu aliyestaafu jana, Kassim Majaliwa akizungumza na viongozi wa vyombo vya ulinzi na usalama mara baada ya sherehe hizo kumalizika.
Post a Comment