MAHAFALI KIDATO CHA SITA SHULE YA FEZA YAFANA
Wanafunzi wa shule ya wavulana Feza kidato cha sita wakiwa kwenye picha ya pamoja wakati wakisherekea mahafali ya kuhitimu elimu hiyo katika ukumbi wa Mwalimu Nyerere jijin Dar es salaam.
Wanafunzi wa shule ya wasichana Feza kidato cha sita wakiwa kwenye picha ya pamoja
wakati wakisherekea mahafali ya kuhitimu elimu hiyo katika ukumbi wa Mwalimu Nyerere jijin Dar es salaam.
Mwanafunzi bora kwenye masomo Kidato cha Sita, Avit Kibani wa Shule ya Wavulana Feza, ambaye amefanya vizuri katika masomo yake akiweka kumbukumbu ya jina lake kwenye kitaru maalumu cha Shule. Kulia ni Mwenyekiti wa shule za Feza, Ismail Yilmaz wakati wakisherekea kuhitimu katika .Mahafali yaliyofanyika ukumbi wa Mwalimu Nyerere, Dar es Salaam jana. Picha na Ashrack Miraji.
Post a Comment