Mkuu wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) Prof. Zacharia Mganilwa (kulia) akizungumza na Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe. Omari Kipanga alipotembelea banda la NIT kwenye maonesho ya vyuo vya elimu ya mafunzo na ufundi kwenye uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma. Kushoto ni Mkuu wa kituo cha umahiri katika usafiri wa anga na operesheni za usafirishaji, Mhandisi Abubakar Noor.
Mwenyekiti wa Baraza la NACTE Prof. John Kondoro (kulia) akimueleza jambo Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe. Omari Kipanga alipotembelea maonesho ya elimu ya mafunzo na ufundi kwenye uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma, yaliyoandaliwa na NACTE. Kushoto ni Katibu Mtendaji wa NACTE, Dkt. Adolph Rutayuga.
Imeandaliwa na Richard Mwaikenda
Mhariri Blog ya Taifa ya CCM
0754264203
Post a Comment