Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Songwe, Neema Mwandabila, amekuwa miongoni mwa wabunge wa waliochangia leo mjadala wa Bajeti ya Wizara ya Nishati ambapo kwa upande wake alihoji serikali ina mkakati gani wa miradi ya joto ardhi na makaa ya mawe yaliyopo mkoani humo?
Post a Comment