m
KONGAMANO LA UWT KUMPONGEZA MWENYEKITI WA CCM RAIS SAMIA KUTIMIA MWAKA MMOJA WA URAIS, LAFANA JIJINI DAR ES SALAM, LEO
Spika wa Bunge Dk. Tulia Ackson (kushoto) akipokewa kwa shamrashamra na viongozi mbalimbali wa Umoja wa Wanawake wa Tanzania (UWT) alipowasili katika Viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Dar es es Salaam, leo kuwa mgeni rasmi katika kongamano la UWT kumpongeza Mwenyekiti wa CCM, Rais Samia Suluhu Hassan kutimiza mwaka mmoja wa Urais.
n
n
n
Post a Comment