Featured

    Featured Posts

CHINGUILE: NACHINGWEA INA UPUNGUFU MKUBWA WA WATUMISHI IPEWE KIPAUMBELE CHA AJIRA+video

 Mbunge wa Nachingwea, Amandus Chinguile ameishauri serikali kuipa kipaumbele cha ajira mikoa ya mipakani ikiwemo wilaya ya Nachingwea yenye upungufu mkubwa wa watumishi na hata ikiwezekana kuajiri wasomi wa wameo hayo.

Ametoa ushauri huo alipokuwa akichangia mjadala wa Bajeti ya Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora bungeni Dodoma Apeili 22,2022.

Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Chinguile akitoa mchango wake huo...

   


IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA 
 MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM
 0754264203
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana