Featured

    Featured Posts

GARI LAGONGA MTU NA KUMUUA MDAULA, PWANI



Polisi wakishughulikia kuuchukua mwili wa mtu mmoja ambaye ambaye inaahofiwa amefariki dunia baada ya kugongwa na gari katika eneo la Mdaula, mkoa wa Pwani, leo. Gari lililohusika na ajali hiyo, halikusimama baada ya tukio hilo na mtu huyo aliyefariki bado hajatambuliwa. (Picha na Bashir Nkoromo)
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana