Waziri wa Habari, Mawasiliano na Tknolojia ya Habari, Nape Nnauye amewasilisha kiufasaha tena kwa muda mfupi makadirio ya Bajeti ya Wizara hiyo kwa mwaka 2023/2024 bungeni Dodoma Mei 19, 2023, kiasi cha kusifiwa na Naibu Spika, Musa Zungu.
Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Nap Nnauye akiwasilisha taarifa hiyo....
Post a Comment