Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Comredi Daniel Chongolo anaanza leo ziara ya siku 7 mkoani Iringa ya kukihuisha Chama na kukagua utekelezaji wa Ilani ya Chama.
Katika ziara hiyo ataambatana na Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Sophia Mjema pamoja na Katibu wa NEC, Oganaizesheni, Haji Issa Gavu.
Post a Comment