IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MKUTANO WA CHONGOLO SUMBAWANGA WAFANA
Sehemu ya umati wa wananchi wakiwa Uwanja wa Mandela Mjini Sumbawanga Oktoba 11, 2023 katika mkutano wa kuhitimisha ziara ya siku 4 ya Katibu Mkuu wa CCM, Komredi Daniel Chongolo mkoani Rukwa ya kuimarisha uhai wa chama, kusikiliza kero za wananchi na kukagua utekelezaji wa Ilani ya chama hicho.
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
Post a Comment