Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, ambaye ni Mwenyekiti wa Jopo la Wazee wa SADC (SADC Panel of Elders-POE) akiongea na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi na timu yake wa DRC jijini Kinshasha katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) ambako yuko kushiriki Misheni ya SADC kwenye uchaguzi wa nchi hiyo uliofanyika jana tarehe 20 Desemba 2023.
Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, ambaye ni Mwenyekiti wa Jopo la Wazee wa SADC (SADC Panel of Elders-POE akitembelea mojawapo ya vituo vya kupigia kura jijini Kinshasha katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) ambako yuko kushiriki Misheni ya SADC kwenye uchaguzi wa nchi hiyo uliofanyika jana tarehe 20 Desemba 2023.
Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, ambaye ni Mwenyekiti wa Jopo la Wazee wa SADC (SADC Panel of Elders-POE akitembelea mojawapo ya vituo vya kupigia kura jijini Kinshasha katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) ambako yuko kushiriki Misheni ya SADC kwenye uchaguzi wa nchi hiyo uliofanyika jana tarehe 20 Desemba 2023.



Post a Comment