Na Lydia Lugakila,
Mwanza
Jumuiya kuu ya Wabaptist Tanzania imemshukuru na kumpongeza Rais wa Jamhuli ya Muungano wa Tanzania Mhe, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kujenga miundombinu mingi ikiwemo shule za msingi na sekondari na vituo vya...
DK. NCHIMBI AMPONGEZA CHONGOLO KWA KUKIIMARISHA CHAMA


Katibu Mkuu mpya wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Emmanuel Nchimbi kwa niaba ya CCM amemshukuru na kumpongeza mtangulizi wake Komredi Daniel Chongolo kwa kazi kubwa aliyoifanyia CCM tofauti na alivyoikuta.
Pongezi hizo amezitoa alipokuwa akihutubia...
KOMREDI CHONGOLO AMKABIDHI OFISI DK. NCHIMBI


Katibu Mkuu Mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Komredi Daniel Godfrey Chongolo akimkabidhi nyaraka mbalimbali Katibu Mkuu mpya wa CCM Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi ikiwa ni ishara ya makabidhiano ya nafasi hiyo katika shughuli maalum...
RAIS DK. SAMIA AFUNGUA MKUTANO WA MWAKA HUU WA CDF NA MAKAMANDA, LUGALO JIJINI DAR ES SALAAM, LEO


Amiri Jeshi Mkuu Rais Dk. Samia Suluhu Hassan akiteta jambo na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama Jenerali Jacob John Mkunda, wakati wa mkutano wa CDF na Makamanda kwa mwaka 2023 ambao ulifanyika Lugalo Jijini Dar es Salaam tarehe 22 Januari, 2024.
Amiri...
DKT NCHIMBI ALAKIWA KIMILA DODOMA


Wazee wa kimila wakimvisha mgolole ikiwa ni ishara ya kumsimika Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapimduzi (CCM), DKT. Emmanuel Nchimbi kuwa Chifu wa kabila la wagogo katika hafla iliyofanyika wakati wa mapokezi yake katika Makao Makuu ya CCM jijini...
DKT NCHIMBI ATINGA MAKAO MAKUU YA CCM DODOMA

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt Emmanuel Nchimbi akiwasili Makao Makuu ya chama hicho wakati wa mapokezi jijini Dodoma Januari 23, 2025.
Dkt . Nchimbi akivishwa skafu na vijana wa UVCCM
Dkt. Nchimbi akisalimiana na Mwenyekiti wa Umoja...
BALOZI DK. NCHIMBI ALIVYODHIHIRISHA KUWA MWANADIPLOMASIA ALIYEIVA, AWAPA 'AKILI' CHADEMA WASITUMIE MIGUU KUJENGA HOJA, WAJITOFAUTISHE NA MASHINDANO YA UREMBO AMBAYO NYENZO KUU NI UHODARI WA KUTEMBEA

Na Bashir Nkoromo, CCM Official CCM Blog, Dar es Salaam
Akizungumza katika mkutano wa mapokezi yake yaliyofanyika katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam, jana, Januari 20, 2023, Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dk. Emmanuel...